Radio Maria Tanzania

10 Episodes
Subscribe

By: Radio Maria Tanzania

Haraka sana ilienea kote Italia, tayari katika miaka ya 90, uzoefu huu wa kipekee wa redio uliamsha shauku katika sehemu zingine za ulimwengu. Baadaye, kila mara chini ya uelekezi na usaidizi wa Radio Maria Italia, Radio Maria nyingine iliibuka Amerika (kuanzia na Peru), Afrika (kwanza Burkina Faso), sehemu nyingine za Ulaya… na hivyo Familia ya Ulimwengu ya Radio Maria ilizaliwa mnamo Juni 1998, na kuwa NGO inayotambuliwa na UN, yenye makao makuu ya kisheria huko Roma. Madhumuni yake ni kuendeleza mradi wa kimisionari, kujibu maombi yanayotoka katika maeneo yote ya dunia, kuhakikisha uhalisi wa chapa, kutoa usaidizi wa kiufundi kwa RM zote, na...

MASWALI YA IMANI
Yesterday at 2:38 PM

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri  Hugo Kabogo Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu La Songea akijibu swali la Msikilizaji linalosema nini maana ya Sakramenti ya Ekaristi Takatifu?

 

L'articolo Ekaristi Takatifu ni nini? proviene da Radio Maria.


JINSIA NA MAENDELEO
Yesterday at 2:24 PM

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo leo  tupo na  Anectus Asingizibwe Mwenyekiti wa Kampeni kupinga ukatili shujaa wa maendeleo na ustawi wa jamii Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa  Pwani akituongoza kujifunza Mchango wa Mifumo ya Familia katika kuimarisha Usawa wa Kijinsia.

L'articolo Ni, kwa namna gani Familia husaidia kuimarisha Usawa wa Kijinsia? proviene da Radio Maria.


MASWALI YA IMANI
Yesterday at 2:22 PM

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiw nami Frateri Principius Gabriel Katabazi,  kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema  Injili ni vitabu vilivyotokana na nukuu za maneno ya Yesu mwenyewe, mbona tuna Injili nne tu katika bibilia? Je, mitume wengine hawakuweza kuandika nukuu  ya Injili ?

   

L'articolo Ni, kwanini Injili ziko nne tu katika Bibilia Takatifu ? proviene da Radio Maria.


SHERIA ZA KANISA
Yesterday at 9:22 AM

Karibu uungne nami Raymond Karega, katika kipindi cha Sheria za Kanisa Studio tupo na Padre Ladslaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe akielezea Sheria Namba 1016-1023  ya Sakramenti ya Daraja Takatifu.

L'articolo Je, wafahamu Sheria namba 1016-1023 ? proviene da Radio Maria.


UTUME WA WALEI
Yesterday at 8:41 AM

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja,  katika kipindi cha Utume wa walei  Wawezeshaji ni Waratibu wa hija ya Wazee Wastaafu Wakatoliki Tanzania akituelezea  juu ya ujumbe wa  hija  wa Shirika la Wazee Wastaafu Wakatoliki Tanzania.

L'articolo Ni, kwa namna gani naweza shiriki Hija ya Wazee na Wastaafu Wakatoliki? proviene da Radio Maria.


TAFAKARI NASI
Last Friday at 5:57 AM

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Tafakari Nasi  leo tupo na Padre  Frank Mwinami kutoka Jimbo  Katoliki Njombe akituongoza kujifunza Shukrani kwa Mungu .                       

L'articolo Ni, kwanini tunapaswa kumshukuru Mungu? proviene da Radio Maria.


MASWALI YA IMANI
Last Friday at 5:44 AM

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami  Frateri Jacob Mkandawile  kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho,  Jimbo Kuu Katoliki Songea swali la Msikilizaji  linalojibiwa linasema Je, kutokulipa Zaka ni dhambi?  

L'articolo Je, kutokulipa Zaka ni dhambi? proviene da Radio Maria.


IJUE AFYA YAKO
Last Friday at 5:37 AM

Karibu  uungane nami Judith Mpalanzi, katika kipindi cha Ijue Afya yako  Mwezeshaji wetu ni Doctor Ashura Ramadhani na Zabron Nicholaus kutoka Hospital ya Rufaa ya Mtakatifu Fransisco wa Asizi Ifakara wakielezea juu ya Ugonjwa wa Usonji.

L'articolo Je, Usonji ni nini? proviene da Radio Maria.


UJUMBE WA BIBLIA
Last Friday at 4:49 AM

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kufundisha juu ya   kukoseana na kusamehana akiwatazama Wafalme mbalimbali, leo anamzungumzia Mfalme Suleiman.  

L'articolo Mfalme Suleimani ni nani katika Bibilia Takatifu? proviene da Radio Maria.


KATEKISIMU SHIRIKISHI KATOLIKI
Last Friday at 4:21 AM

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akielezea juu ya Umuhimu wa Dominika ya Misioni.

L'articolo Dominika ya Misioni ni nini? proviene da Radio Maria.