Radio Maria Tanzania

10 Episodes
Subscribe

By: Radio Maria Tanzania

Haraka sana ilienea kote Italia, tayari katika miaka ya 90, uzoefu huu wa kipekee wa redio uliamsha shauku katika sehemu zingine za ulimwengu. Baadaye, kila mara chini ya uelekezi na usaidizi wa Radio Maria Italia, Radio Maria nyingine iliibuka Amerika (kuanzia na Peru), Afrika (kwanza Burkina Faso), sehemu nyingine za Ulaya… na hivyo Familia ya Ulimwengu ya Radio Maria ilizaliwa mnamo Juni 1998, na kuwa NGO inayotambuliwa na UN, yenye makao makuu ya kisheria huko Roma. Madhumuni yake ni kuendeleza mradi wa kimisionari, kujibu maombi yanayotoka katika maeneo yote ya dunia, kuhakikisha uhalisi wa chapa, kutoa usaidizi wa kiufundi kwa RM zote, na...

Maswali ya Imani
Last Wednesday at 1:18 PM

Karibu uungane nami Martin Joseph,  katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji Frateri Ayuto Kogwa  Kulolwa  kutoka Seminari Ndogo ya Mtakatifu Yoseph Terambogo,  Jimbo  Katoliki Kigoma, akijibu swali linalohoji  Nani alianzisha Utaraibu wa huduma ya  Sakramenti Takatifu ya Wagonjwa?

L'articolo Je, wafahamu nani alianzisha Utaraibu wa huduma ya  Sakramenti Takatifu ya Wagonjwa? proviene da Radio Maria.


UJUMBE WA BIBLIA
Last Wednesday at 12:24 PM

Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha ujumbe wa Biblia, ambapo Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akiendelea na historia ya Nabii Yeremia.

L'articolo Je, unafahamu uhusiano wa Nabii Yeremia na Daraja Tajatifu ya Upadre? proviene da Radio Maria.


KATEKISIMU SHIRIKISHI
Last Wednesday at 12:11 PM

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akitufundisha juu ya Ekaristi Takataifu nguvu ibadilishayo.

L'articolo Je, wafahamu nguvu ya Ekaristi ibadilishayo Watu. proviene da Radio Maria.


PRO LIFE
Last Wednesday at 11:29 AM

Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro life utetezi wa Uhai, Wawezeshaji ni Wakufunzi kutoka Pro life Tanzania, wakituelimisha juu ya madhara ya kushamili kwa vitendo vya utoaji mimba.

L'articolo Fahamu madhara ya kushamili kwa vitendo vya utoaji mimba. proviene da Radio Maria.


KATEKISIMU SHIRIKISHI
Last Wednesday at 9:58 AM

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Shirikishi Katoliki kupitia Radio Maria Tanzania Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera akizungumzia Damu Azizi ya Yesu Kristo.

L'articolo Je, wafahamu Thamani ya Damu Takatifu ya Yesu Kristo? proviene da Radio Maria.


Historia ya Kanisa
Last Monday at 3:17 PM

Patrick Paschal Tibanga ninakualika kwa mara nyingine katika kipindi cha Historia ya Kanisa tukijumuika na Askofu Method Kilaini katika mwendelezo wa majibu kutokana na maswali ya Msikilizaji wetu.

L'articolo Je, Mto Jordani aliobatizwa Yesu & Mlima Kalvari na Watu huenda kuhiji? proviene da Radio Maria.


Historia ya Kanisa
Last Monday at 2:57 PM

Ungana na Askofu Method Kilaini katika kipindi cha Historia ya Kanisa – Maswali na majibu moja ya maswali linalojibiwa ni pamoja na Je, kuna tofauti gani ya Rozari na Tasbihi?

L'articolo Je, kuna tofauti gani ya Rozari na Tasbihi? proviene da Radio Maria.


Historia ya Kanisa
Last Monday at 2:34 PM

Karibu ungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa tukiwa na  Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba akijibu maswali mbalimbali ya Wasikilizaji kutokana na mada alizofundisha katika vipindi vya nyuma, moja ya swali linalojibiwa ni Je, ni kweli wakati wa Kwaresima & Majilio hatutumii Ubani?

L'articolo Je, ni kweli wakati wa Kwaresima & Majilio hatutumii Ubani? proviene da Radio Maria.


Historia ya Kanisa
Last Monday at 2:21 PM

Karibu ungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa tukiwa na  Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba akijibu maswali mbalimbali ya Wasikilizaji kutokana na mada alizofundisha katika vipindi vya nyuma, moja ya swali linalojibiwa ni Je, Abate na Askofu nani mkubwa katika Kanisa Katoliki?

L'articolo Je, Abate na Askofu nani mkubwa katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.


Maswali ya Imani
Last Monday at 9:12 AM

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari ndogo ya Mtakatifu Yosefu Iterambogo Jimbo Katoliki Kigoma, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Nini maana ya neno agano?    

L'articolo Nini maana ya Agano? proviene da Radio Maria.